Amos 2:6

Hukumu Juu Ya Israeli

6 aHili ndilo asemalo Bwana:

“Kwa dhambi tatu za Israeli,
hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.
Wanawauza wenye haki kwa fedha,
na maskini kwa jozi ya viatu.
Copyright information for SwhNEN